![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Karume akutana na viongozi wa umoja wa wanawake TZ15/01/2008
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi, mhe. Amani Abeid Karume aliwakaribisha nyumbani kwake viongozi wa umoja wa wanawake wa bara na visiwani katika kubadilishana mawazo ya kimaendeleo, huko ikulu, Zanzibar.
Wanawake hao walikaribishwa na mke wa rais Bi Shadya Karume na baadaye rais akachukua fursa ya kupiga picha ya pamoja.
Mara baada ya mualiko huo wa umoja wa wanawake wa bara na visiwani (UWT), rais alikutana na wenyeviti wa mikoa wa CCM wa bara na visiwani katika kumpongeza miaka 44 ya mapinduzi ya Zanzibar, hapo hapo ikulu Zanzibar.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||