Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Karume akutana na wenyeviti wa CCM wa bara & visiwani

15/01/2008

Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi, mhe. Amani Abeid Karume akisalimiana na wenyeviti wa mikoa wa CCM wa bara na visiwani huko ikulu Zanzibar, moja katika sherehe za miaka 44 ya mapinduzi ya Zanzibar.

Baadaye walikutana kuzungumza mbinu za maendeleo ya baadaye ya bara na visiwani.

Makamo mwenyekiti wa CCM Zanzibar, na Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi, Mhe. Aman Abeid Karume, akiwa katika picha ya pamoja na wenyeviti wa mikoa wa CCM wa bara na visiwani, ikulu, Zanzibar.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©