![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Kikwete azindua madrasa mpya16/01/2008
Rais wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete atembelea Bukoba akiwa katika ziara yake ya kikazi. JK alimpongeza Sheikh Mustafa Khalid Swidia, mkuu wa Madrasatul Falahi iliyopo katika kjiji cha Katoro, wilaya ya Bukoba vijijini, muda mfupi baada ya kufungua madarasa mapya yatakayotumika kama sekondari mpya ya kiislam.
Baadhi ya wanafunzi wa kike wanaosoma katika sekondari mpya iliyopo chini ya Madrasatul Falahi, Katoro, wilaya ya Bukoba vijijini waliohudhuria hafla ya ufunguzi uliofanywa na JK.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||