Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Kikwete afungua hospitali mpya

19/01/2008

JK akiwa na askofu mkuu wa kanisa la Orthodox Tanzania, Jeronymos Muzeeyi, muda mfupi baada ya Rais Kikwete kuweka jiwe la msingi katika hospitali huko Kitendaguro, katika manispaa ya Bukoba, ambayo imejengwa na kanisa hilo.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Rais aliushukuru uongozi wa kanisa hilo kwa uamuzi wa kujenga hospitali hiyo Bukoba. Alisema kuwa, hospitali hiyo itawapunguzia wakazi wa mji wa Bukoba na maeneo mengine mkoani Kagera adha ya kwenda hospitali ya Rufaa Bugando kwa matibabu ya magonjwa makubwa.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©