Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Hospitali mpya kujengwa Zanzibar

21/01/2008

Hii ni picha ya jengo la Hospitali kubwa ya magonjwa mbalimbali yakiwemo magonjwa ya moyo na mifupa itakayojengwa Zanzibar, ambapo madaktari bingwa wa Tanzania wameamua kuekeza hospitali hiyo Zanzibar kwa huduma bora kwa wananchi.

Pichani juu ni baadhi ya wageni waalikwa na madaktari bingwa wakiendesha semina, ambapo kila daktari bingwa alionyesha ujuzi wake alionao katika masuala mbalimbali yakiwemo namna ya kutibu magonjwa ya moyo, upasuaji, mifupa na magonjwa sugu ya watoto.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©