![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
|
|||||||
Mfano wa msingi wa maendeleo27/01/2008
Mama wa kwanza Salma Kikwete akimimina zege katika msingi wa jengo la mojawapo ya madarasa katika shule mpya ya sekondari inayojengwa kwa ufadhili wa taasisi ya WAMA kwa kushirikiana na wananchi wa eneo la Nyamisati, Rufiji mkoa wa Pwani. Bi Salma aliongea na baadhi ya wanafunzi wa kike katika shule ya sekondari Mahege iliyopo Nyamisati, Rufiji mkoa wa Pwani juzi wakati alipoitembelea shule hiyo kufuatilia maendelo ya Wanafunzi wa kike 11 anaowafadhili kupitia taasisi anayoendesha ya WAMA (Wanawake na Maendeleo). WAMA imetoa pia msaada wa Solar (kifaa kinachofanya kazi kwa kutumia mionzi ya jua) kwa ajili ya kuweka umeme katika shule hiyo.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||