![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
|
|||||||
Rais George Bush kutembelea Tanzania28/01/2008
Rais George W. Bush anatarajiwa kuitembelea Tanzania mwezi ujao katika ziara yake ya kutembelea bara la Afrika. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Habari cha Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam, ziara hiyo ya Rais Bush, ni katika mpango wake wa kuzitembelea nchi tano za Afrika, ikiwamo Tanzania, kuanzia Februari 15 hadi 21 mwaka huu, kwa lengo la kudhihirisha ushirikiano wa karibu uliopo kati ya Marekani na Bara la Afrika.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||