![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Rais Kikwete apongezwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa01/02/2008
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon (kushoto) akimpongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kuchaguliwa kwake kuwa Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika (AU) huko Addis Ababa,Ethiopia.
Mama wa kwanza, Salma Kikwete (kushoto) akiwa katika mazungumzo na Mama wa kwanza wa Namibia, Madam Penehufipo Pohamba (katikati) baada ya Rais Kikwete kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||