![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Sherehe za CCM miaka 31 Pemba03/02/2008
JK akitoa hotuba katika maadhimisho ya sherehe za miaka 31 ya kuzaliwa kwa chama cha Mapinduzi katika uwanja wa Michezo wa Gombani Pemba leo.
Wanachama wapya wa CCM wakila kiapo mbele ya Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kupokea kadi zao za uanachama katika uwanja wa michezo Gombani Pemba leo.
Mama Salma Kikwete na Mke wa rais wa Zanzibar mama Shadya Karume wakati wa sherehe za miaka 31 ya kuzaliwa CCM huko uwanja wa michezo Gombani Pemba leo.
JK akiwapungia wanachama wa CCM Pemba katika uwanja wa Gombani leo. kulia rais amani abeid karume wa Zanzibar.
Wanacahama wa ccm wa Pemba wakitembea katika maandamano ya sherehe za kuzaliwa CCM katika uwanja wa Gombani Pemba leo.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||