Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

JK atangaza baraza jipya la Mawaziri

12/02/2008

Rais wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete aliingia katika ukumbi wa Tamisemi, Dodoma, saa tisa na dakika kumi na sita akiongozana na Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda.

Katika kuanza alitoa maelezo na alisema kwamba wamezingatia kazi mbili katika kuamua.

  • Kwanza, kutazama muundo wa serikali

  • Pili, kujaza nafasi za kujaza baraza la Mawaziri

KABLA HAJATANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI,RAIS JK AMESEMA VIONGOZI WA MUDA MREFU WAMEOMBA KUPUMZIKA AMBAO NI:

1. JOSEPH MUNGAI

2. KINGUNGE NGOMBALE MWIRU

 

BARAZA LENYEWE NI:

1. WAZIRI OFISI YA RAIS (UTAWALA BORA) SOFIA SIMBA

2. WAZIRI OFISI YA RAIS (MENEJIMENTI YA UMMA) HAWA GHASIA

3. WIZARA OFISI YA MAKAMU WA RAIS (SHUGHULI ZA MUUNGANO) MOHAMED SEIF KHATIB

4. WIZARA YA UTALII NA MAZINGIRA DK. BATILDA BURIANI

5. WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS (SERA NA URATIBU WA BUNGE) PHILIP MARMO

6. WIZARA YA TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA STEVEN WASIRA

7. WIZARA YA FEDHA MUSTAFA MKURO NA MANAIBU NI JEREMIAH SUMARI NA OMARI YUSUF MZEE

8. WIZARA YA AFYA PROFESA DAVID MWAKYUSA NAIBU NI AISHA KIGODA

9. WIZARA YA ARDHI JOHN CHILIGATI

10. ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI PROFESA JUMANNE MAGHEMBE NAIBU GAUDENSIA KABAKA NAIBU NI MWANTUMU MAHIZA

11. WIZARA YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA SHUKURU KAWAMBA NAIBU NI DK. MAUA DAFTRI

12. WIZARA YA MIUNDO MBINU ANDREW CHENGE NAIBU DK. MAKONGORO MAHANGA

14. WIZARA YA UTAMADUNI NA MICHEZO GEORGE MKUCHIKA NAIBU JOEL BENDERA

15. WIZARA YA KAZI NA AJIRA POFESA JUMA KAPUYA NAIBU HEZEKIA CHIBULUNJE

16. WIZARA YA MAJI PROFESA MARK MWANDOSYA NAIBU CHIZA

17. WIZARA YA KILIMO NA CHAKULA MATHAYO DAVID MATHAYO

18. WIZARA YA MENDELO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MARGARETH SITTA NAIBU NI LUCY NKYA

19. WIZARA YA UVUVI NA MIFUGO JOHN POMBE MAGHUFULI NA MANAIBU NI
SHAMSA MWANGUGA NA EZEKIEL MAIGE

20. WIZARA YA MAMBO YA NDANI LAWRENCE MASHA NAIBU NI HAMISI KAGASHEKI

21. WIZARA YA MAMBO YA NJE NI BERNARD MEMBE NAIBU SEIF ALI IDDI

22. WIZARA YA NISHATI NA MADINI WILLIAM NGELEJA NAIBU ADAM MALIMA

23. WIZARA YA SHERIA MH. CHIKAWE

24. WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA DK. HUSSEIN MWINYI NAIBU DK EMMANUEL NCHIMBI

25. WIZARA YA AFRIKA MASHARIKI DK. E. KAMALA

26. WIZARA YA VIWANDA NA BISHARA DK. MARY NAGU NAIBU CYRIL CHAMI
 


Aliyekua Waziri ofisi ya Rais na mshauri mkuu wa rais katika maswala ya siasa Mh. Kingunge Ngombale Mwiru (Pichani juu) ameomba kupumzika katika nyadhifa hiyo baada ya kulitumikia taifa kwa muda mrefu,kiongozi mwingine aliyeomba kumpumzika ni Mh. Joseph Mungai.

Aidha Rais Jakaya Kikwete katika kutangaza baraza jipya la mawaziri leo hii mjini Dodoma ndani ya ukumbi wa Tamisemi, kwenye uteuzi huo amewaacha Mawaziri kadhaa akiwemo Bi Zakia Meghji, Dan Nsanzugwanko, Rita Mlaki, Basil Mramba, Juma Ngasongwa, Bakari Mwapachu, Prof. Msolwa, Zubeid Mhita, pamoja na Antony Diallo.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©