![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Mitaani hivi leo24/02/2008
Mtaa wa Agrey ulivyo sasa.
Barabara ya Kilwa Road ilipofikia sasa katika ujenzi wake. Hapa ni Polisi ufundi.
Korosho za rejareja.
Machanuo ya rejareja.
Mtaa wa Masasi ulivyo hivi sasa.
Biashara ikielekea sokoni.
Mtaa wa Msimbazi ulivyo hivi sasa. Jumba jekundu ni klabu ya Simba.
Kituo cha Mwenge. Spika na midundo inauzwa nje nje.
Kituo cha Taxi Sayansi, kama kinavyoitwa huko Kijitonyama.
Hii ni njia ya Morogoro Road kama unavyotokea Ubungo kuingia City Centre, Dar es Salaam, ionekanavyo hivi sasa.
Na huyu jamaa hajulikani ni nani, lakini kwa kifupi, hii ni Bongo!
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||