![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Jumba la Ushirika laungua moto03/03/2008
Jengo la ushirika mtaa wa Lumumba, Mnazi Mmoja maarufu kama jumba refu kwa wenyeji wa Dar es Salaam lilishika moto usiku wa kuamkia leo na kuteketezwa sehemu kubwa ya ghorofa ya chini.
Chanzo cha moto hakijafahamika ingawa redio mbazo zinajulishwa kuwa ni hitilafu ya vitu fulani fulani.
Wanazimamoto wakiweka maswali na majibu ya moto huo.
Moto huo uliteketeza rasilimali nyingi ambazo zinaendesha kazi katika mashirika yaliyomo kwenye jumba hilo.
Baadhi ya rasilimali chache ambazo zimebaki zikiwa zinaangaliwa na wafanyakazi.
Wapita njia wakishangaa na hali halisi iliyotokea hapo.
Waziri wa mambo ya ndani Mh. Lawrence Masha alitembelea eneo la tukio na kujionea jinsi zimamoto walivyoweza kuudhibiti moto usienee ghorofa zingine.
Wengine hawaamini macho yao kwa yaliyotokea.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||