![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Rais Karume atembelea ujenzi wa bandari ya Malindi06/03/2008
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Amani Abeid Karume, akisalimiana na mshauri wa kampuni ya Carlbro ya Denmark, Ole Madsen, inayosimamia ujenzi wa bandari ya Malindi mjini Zanzibar, wakati alipofanya ziara ya kutembelea ujenzi wa bandari hiyo. Kulia ni balozi wa (UN) nchini, bwana Tim Clarke.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Mhe. Amani Abeid Karume, akieleza jambo wakati alipofanya ziara ya kutembelea maendeleo ya ujenzi wa bandari ya Malindi mjini Zanzibar. Kulia ni mkurugenzi wa shirika la bandari Zanzibar, Mustafa Aboud Jumbe.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Mhe. Amani Abeid Karume, akipata maelezo kutoka kwa mshauri wa usimamizi wa ujenzi wa bandari kuu ya Malindi, Zanzibar, Ole Madsen, wa kampuni ya Carlbro, kutoka nchini Denmark, alipofanya ziara ya kutembelea ujenzi wa bandari hiyo.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||