![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Vyama vya upinzani vyakutana Zanzibar13/04/2008
Mamia ya watu, wanaume kwa wanawake walikutana Zanzibar kwenye mkutano ulioandaliwa na vyama vya upinzani katika kupinga kura ya maoni ambayo ilipendekezwa na Chama Cha Mapinduzi kwa kuleta muwafaka baina ya vyama hivyo.
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Shariff Hamad akihutubia jambo
Mwenyekiti wa chama cha demokrasia (CHADEMA), Freeman Mbowe akihutubia jambo
Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema akihutubia jambo
Kiongozi wa upinzani bungeni, Mh. Hamad Rashid akihutubia jambo
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||