![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Kikwete apokewa China14/04/2008
JK akiwa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya watu wa China Mhe. Hu Jin Tao juu ya jukwaa mara baada ya nyimbo za mataifa hayo mawili kupigwa na Bendi ya jeshi ya Jamhuri ya watu wa China kuashiria makaribisho ya ki-Taifa wakati alipowasili katika mji wa Sanya ambako alihudhuria mkutano wa BOAO.
JK akikagua gwaride la heshima na mwenyeji wake Rais Hu Jin Tao wa China.
JK ni Rais pekee wa Afrika aliyealikwa katika mkutano huo.
JK akishangiliwa na wananchi wa mji wa Boao katika jimbo la Hainan nchini China mara alipowasili kwenye Ukumbi wa Mkutano unao jumuisha nchi za Asia na waalikwa toka baadhi ya nchi za Ulaya na Australia.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||