![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Mkutano wa Diaspora wa London18/04/2008
Mwenyekiti wa Zenjydar Bw. Saleh Jaber akipozi na makamu wa rais Mh. Ali Mohammed Shein na balozi Mh. Mwanaidi Maajar katika mkutano wa Diaspora ya Watanzania uliofanyika leo jijini London. Mkutano huo uligusia mada tofauti za kuleta maendeleo ya nchi (Tanzania) na kutoa nafasi kwa wananchi katika kuleta maendeleo nyumbani Tanzania.
Makamu wa rais Mh. Ali Mohamed Shein akipozi na waandaaji na wadhamini wa Diaspora baada ya mkutano kufunguliwa leo London. Kushoto kwake ni waziri wa biashara na viwanda Dk. Mary Nagu, Gavana wa benki kuu Prof. Benno na bosi wa masoko na biashara wa CRDB Tully Esther Mwambapa. kulia kwake ni balozi Mwanaidi Maajar, waziri wa biashara na utalii wa Zanzibar Mh. Samia.
Makamu wa rais Dk. Ali Mohamed Shein akiwa na washiriki na waandaaji wa mkutano wa Diaspora leo baada ya kuufungua asubuhi ya hapa London.
Mama Kassanga wa Standard Chartered ya Dar (kulia) naye alikuwepo kunadi sera za benki hiyo kabambe. Hapa akiongea na mwekezaji toka Ujerumani.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||