![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Gari ya 007 James Bond imepiga mbizi21/04/2008
Gari maarufu ya James Bond (Aston Martin - DB5) imegonga pembezoni mwa barabara na kusababisha gari hiyo kuanguka kwenye ziwa la Garda ambalo lipo nchini Italy. Gari hiyo ilikuwa ikiendeshwa na muigizaji wa James Bond Jumamosi ya jana asubuhi ya saa kumi na mbili ambapo hali ya hewa ilikuwa si nzuri. Gari hiyo ilianguka wakati wa kuchukuwa filamu mpya ya James Bond, 007 (Quantum of Solace). Gari iliyoanguka siyo ile yenye kuogelea kwenye bahari ambayo imo kwenye filamu ya "The Spy Who Loved Me".
Hii ni picha mojawapo ambayo imechukuliwa wakati wa kuigiza filamu mpya ya James Bond, Quantum of Solace.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||