![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Karume aonana na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu23/04/2008
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi, Mhe. Amani Abeid Karume akisalimiana na mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu na utawala bora, Mhe. Amiri Ramadhani Manento alipofika leo Ikulu Zanzibar pamoja na makamishna wa tume hiyo.
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi, Mhe. Amani Abeid Karume akizungumza na mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu na utawala bora, Mhe. Amiri Ramadhani Manento alipofika Ikulu mjini Zanzibar leo akiwa na makamishna wa tume hiyo.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||