TIGO yatoa zawadi Zanzibar
kwa washindi
01/01/2009

Ofisa Uhusiano wa Tigo Jackson Mmbando
akimkabidhi simu ya mkononi yenye muda wa maongezi shilingi elfu kumi
Jokha Ahmed mmoja wa washindi wa droo ya pili ya JISHINDIE MTAJI kwenye
hafla iliyofanyika muda mfupi baada ya droo ya tatu ya promosheni hiyo
katika ofisi za Tigo zilizoko Mtaa wa Malindi Zanzibar.

Ofisa Uhusiano wa Tigo Jackson Mmbando (kushoto)
akimkabidhi na kumpongeza Khatibu Ahmed aliyejishindia Baiskeli katika
droo ya pili ya JISHINDIE MTAJI wakati wa hafla fupi iliyofanyika muda
mfupi baada ya droo ya tatu ya promosheni hiyo katika ofisi za Tigo
zilizoko Mtaa wa Malindi Zanzibar.
|