Usafiri ziwa Victoria
unahatarisha
07/01/2009

Usalama
wa wasafiri katika ziwa Victoria bado unatia mashaka kwa baadhi ya
vyombo vinavyotumika katika ziwa hilo. Pichani wananchi wakisafiri kati
ya Mwanza Mjini na Kijiji cha Ilunda wilayani Sengerema mwishoni mwa
wiki.
|