Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Waziri Mkuu Mizengo Pinda ziarani Zanzibar

16/01/2009

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda akikagua kadi za wanachama wa ushirika wa kuweka na kukopa (SACCOS) ya Meli nne, Zanzibar, juzi. Kushoto ni Waziri Kiongozi wa Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha na kulia ni Mhazini wa ushirika huo, Shemsa Hilali.

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, juzi ambao utagharimu zaidi y a sh. milioni 358.

MKE wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda akivuna mpunga katika bonde la Cheju, mkoa wa Kusini Unguja.

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda na mke wake, Tunu Pinda wakivuna Mpunga katika bonde la Cheju, mkoa wa Kusini Unguja, juzi. Katikati ni Waziri wa Kilimo, Mifugo na Mazingira wa Zanzibar, Burhani Saadat.

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda akilakiwa na Waziri Kiongozi wa Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha, kwenye Uwanja wa Ndege wa Zanzibar. Kushoto ni Naibu Waziri Kiongozi, Ali Juma Shamhuna
 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©