Yanga yailaza Commoro 8-1
31/01/2009

Kikosi cha Yanga kilichoilaza timu ya
Etoile D'or Milonsty ya Commoro mabao 8-1.

Kikosi cha Commoro kilichopigwa mabao 8-1
na timu ya Yanga ya Dar es Salaam, wakiwa katika mazoezi ya viungo kabla
ya mpira kuanza.

Hatari mlangoni mwa timu ya Commoro.

Washabiki wa timu ya Yanga wakishangilia
baada ya Yanga kuifunga timu ya visiwa vya Commoro, Etoile D'or Milonsty,
mabao 8-1 katika mchezo wao wa kwanza wa kombe la Ligi ya Mabingwa wa
Afrika katika uwanja wa taifa wa zamani mjini Dar es Salaam.
|