Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Mahafali sekondari ya Jamhuri, Dodoma

05/02/2009

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Jamhuri kidato cha sita wa shule ya Jamhuri, Dodoma, wakimsikiliza kwa makini Mhe. Abdallah Omari Kigoda (hayupo kwenye picha) wakati alipokuwa akizungumza nao baada ya kuwakabidhi vyeti vya kumaliza shule mjini Dodoma.

Mhe. Abdallah Omari Kigoda (watatu kulia) akimkabidhi Cheti mwanafunzi wa kidato cha sita Ndugu Suleiman Ally cha kumaliza kidato cha Sita, wa shule ya sekondari ya Jamhuri mjini Dodoma katika sherehe ya mahafali ya kumaliza kidato cha sita ya shule hiyo. Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Ndugu Juma Kagoda akionekana pichani kulia.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©