Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

JK ahudhuria siku ya sheria nchini

07/02/2009

JK akiwasili mahakama kuu kuhudhuria sherehe za siku ya sheria mjini Dar es Salaam. Shoto kwake ni Jaji Mkuu Mh. Augustine Ramadhan na kulia kwake ni mwenyekiti wa chama cha wanasheria Dk. Twalib akifuatiwa na Spika Mh. Samwel Sitta.

JK akipozi na majaji wa mahakama kuu (waliosimama nyuma) akiwa na Jaji mkuu Mh Augustino Ramadhan, Spika Samwel Sitta, Waziri wa Sheria Mh. Mathias Chikawe na Majaji wa Mahakama ya Rufaa.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©