Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

JK awapa tafu Taifa Stars

10/02/2009

Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Kocha Mkuu wa Taifa Stars Marcio Maximo, Naibu Waziri wa Michezo na Utamaduni Mheshimiwa Joel Bendera baada ya chakula cha mchana kilichoandaliwa kwa ajili ya kuwapongeza wachezaji wa Taifa Stars Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais Jakaya Kikwete (Kushoto) akisalimiana na Mrisho Ngassa baada ya chakula cha mchana kilichoandaliwa kwa ajili ya kuwapongeza wachezaji wa Taifa Stars Ikulu jijini Dar es Salaam.

JK akiwa na wachezaji wa Taifa Stars katika picha ya pamoja baada ya chakula cha mchana, ikulu, Dar es Salaam.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©