Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Kizimbani kwa mauaji

13/02/2009

Watuhumiwa wa mauaji ya kutisha yaliyotekea jijini hivi karibuni Vinoth Praveen (23) na mkewe Komal Bupendra (23) wamefikishwa mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Wanatuhumiwa kumuua Abdul Basit Abdallah kumkatakata na mwili kuuweka katika begi na kuutelekeza ndani ya gari katika jengo la J. M. Mall. Watuhumiwa hao walikuwa wakidaiwa kiasi cha dola za USA 20,000.

Vinoth Praveen, raia wa India, (23) aliyechuchumaa chini kulia, kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara mwenzake, Abdulbasit Abdallah (21), aliyechuchumaa kushoto, ambaye mwili wake ulikutwa ndani ya begi la nguo katika Jengo la Harbour View Tower katika Mtaa wa Samora.

Aidha, inawashikilia kwa tuhuma hizo, mke wa Praven, Komal Katakia (22), wakwe zake Bupindra Jerah (61) na Malti Bupindra (46), pamoja na rafiki yake, Abraham Akbar (23) ambao ni raia wa Tanzania wenye asili ya Kiasia.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©