Kikwete akutana na
kiongozi wa Mabohora duniani
14/02/2009

JK akiwa katika mazungumzo na kiongozi wa Mabohora
duniani Dr. Syedna Mohamed Burhanuddin wakati alipokwenda kumsabahi
kiongozi huyo katika msikiti wa mabohora uliopo Upanga jijini Dar es
Salaam.

JK akiwa na kiongozi wa Mabohora duniani Dr. Syedna
Mohammed Burhanuddin baada ya kiongozi huyo wa Mabohora kumvika mgolole
maalum wakati JK alipokwenda kumtembelea katika msikiti wa Mabohora
ulioko Upanga jijini Dar es Salaam.
|