Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Nyaya za Fibre Optics zatandikwa

19/02/2009

Wafanyakazi ya Kampuni ya SEACOM Tanzania Limited wakiwa wamebeba waya (fibre optic cable) ambao utawekwa katika kituo chao kilichopo Kunduchi Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kutoa huduma ya mawasiliano ya kileo nchini. Toka kulia ni Mkurugenzi wa kampuni hiyo Michael Njumba akifuatiwa na Meneja Mkurugenzi Anna Rupia na kushoto ni Muhandisi Jon Avery.

Wahandisi wa kampuni ya SEACOM Tanzania Limited wakiwa wanafunga kamba ili kuvuta waya ya mawasiliano (fibre optic cable) kutoka ndani ya meli iliyotia nanga bahari ya Hindi ambao utawekwa katika kituo chao kilichopo Kunduchi Jijini Dar es Salaam.

Wafanyakazi ya Kampuni ya SEACOM Tanzania Limited wakionekana wakiwa wamebeba waya ya mawasiliano (fibre optic cable) kutoka ndani ya meli iliyotia nanga bahari ya Hindi ambao utawekwa katika kituo chao kilichopo Kunduchi Jijini Dar es Salaam.

Mafundi ujenzi wakijenga kituo cha waya ya mawasiliano ( Fibre Optic Cable) cha Kampuni ya SEACOM Tanzania Limited kilichopo Kunduchi Jijini Dar es Salaam. Kampuni hiyo itaanza kutoa huduma hiyo ya kuboresha network nchini mwezi wa sita mwaka huu.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©