Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Waheshimiwa wampa hongera Kardinali Pengo

23/02/2009

Marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa pamoia na Rais Jakaya Kikwete wakiwa wamejumuika pamoja katika sherehe za kumpongeza Polycarp Kadinali Pengo kwa kutimiza miaka 25 ya Uaskofu zilizofanyika katika viwanja vya Msimbazi Centre, jijini Dar es Salaam.

Kardinali Polycarp Pengo, Askofu Mkuu jimbo katoliki Dar es Salaam, akimlaki JK kwenye viwanja vya Msimbazi Centre katika sherehe za maadhimisho ya miaka 25 ya Uaskofu wake.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©