Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Wakala wa ndege wailaza timu ya mashirika ya ndege

24/02/2009

Mgeni rasmi Naibu waziri wa mawasiliano, utamaduni na michezo wa Zanzibar, Mh. Mahmoud Thabit Kombo akishiriki katika mchezo wa kuvuta kamba katika tamasha la michezo lililoandaliwa na Galileo Tanzania katika viwanja vya Leaders Club.

Katika mashindano hayo kulikuwepo na mashindano ya michezo mbalimbali ikiwemo ya kukimbia kwa kutumia magunia, michezo ya kamba na mingineyo.

Timu ya mawakala wa ndege iliwakandamiza kwa mashirika ya ndege yaliyo Tanzania magoli 3-0 katika michezo iliyoandaliwa na Galileo Tanzania, katika viwanja vya Leaders Club.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©