Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Uchaguzi Mkuu wa CUF 2009

25/02/2009

Profesa Lipumba akipongezwa na Mh. Hamad, kiongozi wa upinzani bungeni, baada ya kuibuka mshindi wa uenyekiti wa chama cha CUF katika uchaguzi mkuu wa 2009 uliohitimisha mkutano mkuu wa 4 wa chama hicho katika ukumbi wa Diamond Jubilee hall jijini Dar es Salaam.

profesa lipumba alipata kura 600 kati ya kura 669 zilizopigwa na kuwashinda wagombea wengine wawili kwa asilimia 98.6. Wagombea wengine Koplo Stephen Masanja alipata kura 10 (asilimia 1.5) na Profesa Abdallah Safari aliyepata kura 6 (asilimia 0.9).

Maalim seif naye alizoa kura 657 (asilimia 99.5) za kiti cha Ukatibu Mkuu ambapo nne zilisema hapana na mbili ziliharibika. Maalim seif alikuwa mgombea pekee wa nafasi hiyo kama alivyokuwa makamu wa mwenyekiti aliyepata kura 653 (aslimia 98.6) ambapo 5 ziliharibika na 4 zilisema hapana.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©