Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Taifa Stars yaichapa Ivory Coast 1-0

26/02/2009

Mrisho Ngassa (kushoto) akijaribu kumtoka mchezaji wa Ivory Coast katika mechi ya timu hizo mbili jijini Abidjan. Mrisho ndiye aliyeifunga timu ya Ivory Coast bao 1.

Mashabiki wakishangilia Taifa Stars mara tu baada ya kipyenga cha mwisho kulia huko Abidjan katika uwanja wa Felix Houphet Boigny.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©