Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

JK azindua kitabu cha Mzee Kawawa

27/02/2009

JK akimpongeza Mzee Kawawa baada ya kuzindua kitabu chake Ikulu leo. Kitabu hicho kinachoelezea maisha ya Mzee Kawawa ambaye wengi wanamwita Simba wa Vita, kimeandikwa kwa ustadi wa hali ya juu chini ya usimamizi wa Profesa John Magoti, Mkuu wa Chuo cha Mwalimu Nyerere cha Kivukoni.

JK na rais mstaafu Benjamin William Mkapa wakilonga wakati wa uzinduzi wa kitabu cha Mzee Kawawa.

Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiwa na Mh. Pius Msekwa kwenye uzinduzi huo.

Mama Maria Nyerere akiongea na Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa wakati wa uzinduzi wa kitabu cha Mzee Kawawa, Ikulu, Dar es Salaam.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©