Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Bidhaa feki za Shilingi Milioni 25 zachomwa moto

28/02/2009

Maofisa wa kamisheni ya ushindani wa haki (fair competition commission) wakizichoma moto bidhaa feki zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 25 kwenye dampo la Pugu Kinyamwezi nje ya jiji la Dar es Salaam. Msemaji wa kamisheni hiyo amesema bidhaa hizo zilizoteketezwa zinafanya hesabu ya bidjhaa feki zilizochomwa moto kati ya mei 2007 na sasa kufikia thamani ya shilingi 1.625 bilioni, amesema karibu bidhaa zote, ikiwa ni pamoja na balbu, spea za magari, vifaa vya umeme, feni, waya na kadhalika, ni bidhaa feki ambazo zinatoka China.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©