Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Mzee OMAR SULEIMAN (Muasisi wa TANU) atembelewa

09/03/2009

JK akiongea na muasisi wa Chama Cha TANU Mzee Omar Suleiman, mwenye umri wa miaka 104 alipokwenda kumjulia hali nyumbani kwake mjini Dodoma. Rais Kikwete alikuwa mjini Dodoma katika ziara yake ya kikazi.

Kikwete akiwa amembeba mtoto Ramadhan Juma (5) ambaye ni kitukuu cha Muasisi wa Chama Cha TANU, Mzee Omar Suleiman wakati Rais alipokwenda kumjulia hali muasisi huyo nyumbani kwake mjini Dodoma

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©