KIKWETE akutana na BROWN
kabla ya G20
17/03/2009

JK akikaribishwa na waziri mkuu wa uingereza Bw. Gordon
Brown Lancaster House,
kujadili kuyumba huko kwa uchumi duniani
na jinsi kunavyoliathiri bara la Afrika.

JK
akiongea wakati wa mkutano na waandishi wa habari baada ya mkutano wa
Pre G20 London Summit katika jumba la Lancaster House jijini London.
Wengine toka shoto ni rais wa African
Development Bank Dr. Donald Kaberuka, Waziri Mkuu wa kenya, Mh. Raila
Odinga, Rais wa Liberia Mh. Sirleaf Johnson, waziri Mkuu wa Ethiopia Mh.
Meles Zenawi na Waziri wa Fedha wa Afrika Kusini, Mh. Trevor Manuel.
|