Maendeleo ya jiji
18/03/2009

Maendeleo ya jiji la Dar es Salaam
yanazidi kuonekana wakati serikali ikipigia kifua kukuza miundo mbinu ya
jiji ikiwa kama njia moja wapo ya kwenda sambamba na kukua kwa uchumi.

Mamlaka husika ikionekana (pichani) wakiwa
katika kuweka mataa ya barabarani katika Mtaa wa Shauri Moyo, Ilala, Dar
es Salaam. Taa za barabarani pia husaidia usalama wa raia.
|