Bi Salma katika sherehe za
Maulid Pemba
22/03/2009

Mke wa rais wa Tanzania Bi Salma Kikwete akipozi na
baadhi ya wanafunzi wa madrasa ya Konde huko pemba alikokwenda
kusherehekea Maulid mwishoni mwa wiki.

Bi Salma Kikwete akimkabidhi moja ya baiskeli tano
alizotoa kwa madrasa ya Alfanurania Maalim Abdallah Rashid Juma iliyopo
Dodo Pujini, Chake Chake, Pemba. Bi Salma Kikwete alikuwa mgeni Rasmi
katika Maulid ya Kusherehekea Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad(S.A.W.)
iliyofanyika Konde, Pemba, wikiendi hii.
|