Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Shein akutana na Makamanda wa jeshi la Mozambique

26/03/2009

Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohamed Shein (kulia pichani) akiwa na jeshi la Mozambique ambalo limekuja kutembelea nchini Tanzania kuhamasisha na kuongeza ushirikiano wa kijeshi katika nchi mbili hizo.

Makamu wa Rais, Dk. Shein, aliwahikikishia kuendelea kushirikiana kijeshi katika nchi hizo mbili, Tanzania na Mozambique.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©