Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Wakazi wa Kipawa waomba kusikilizwa

27/03/2009

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bwana Abbas Kandoro (kushoto) akiwasikiliza wakazi wa kata ya kipawa jijini Dar es Salaam ambao walimweleza kwamba hawamtaki mkuu wao wa wilaya, Patrick Tsere, kwa madai kuwa ameshindwa kushughulikia madai yao na kutaka eneo hilo litangazwe kuwa "janga la kitaifa".

Wakazi hao, ambao waliandamana hadi ofisi za Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) zilizo Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, wanashinikiza kulipwa fidia baada ya kuzuiwa kuendeleza makazi yao kwa takriban miaka 12 kwa sababu za upanuzi wa uwanja huo.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©