Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Makuku na Machipsi ya Muchacho yahamia Upanga

30/03/2009

Chipsi, Kuku na Mishikaki ya Muchacho iliyokuwa ikipatikana mtaa wa Nyamwezi na Somali sehemu za gerezani jijini Dar es Salaam, sasa imehamia mtaa wa Mfaume sehemu za Upanga, karibu na jamatini, njia ya kutokea makao makuu ya Sido.

Hapo mkurugenzi wake Said Muchacho anakwambia mambo ni mswano ile mbaya na mishikaki sio tu imezidishwa kunoga bali hata ukubwa na wingi katika spoko zake. Kwa kuwa bwana Said ni mpenzi wa timu ya Liverpool, ameiita kona yake hiyo Anfield.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©