Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Dar es Salaam ikitota, vyenye miguu vinasota

09/04/2009

Dar es Salaam ikitota, vyenye miguu vinasota, na vile visivyosota vinabakia kukokotwa. Hali hii imekuwapo kwa muda mrefu sasa na ni hali isiyoridhisha kwa wananchi na wageni au/na wawekezaji.

Matumbo yakisota viambazani, kupapasa njia ya kufika nyumbani.

Asie na miguu minne hukimbilia viambazani, hawezi kukwepa mawimbi kama aliye kisiwani.

Asubuhi hugeuka kuwa jioni, na pakukanyagia hupaoni.

Mitaa hugeuka kuwa mito, vyenye kusota vinaelekea kingoto.

Vyote vinavyokwenda vinasota, kuanzia Vespa mpaka Toyota.

Lakini hii ni ishara nzuri ya kuonyesha mifano hai ambayo inahitaji kufanyiwa kazi kwa malengo ya maendeleo ya nchi kwa miaka inayokuja kama sio miezi.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©