Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Watoto wa Nyerere na Amin wakutana Butiama

10/04/2009

Jaffar Iddi Amin Daddah (kati) akiomba dua kabla ya mlo huku Madaraka Nyerere (shoto) na Vincent Nyerere wakiitikia wakati wa chakula cha mchana kijijini Mwitongo, Butiama.

Vikundi vya ngoma asilia za Kizanaki vikitumbuiza wakati wa ujio wa Jaffar Iddi Amin Daddah, huko Mwitongo, Butiama.

Mtoto wa tatu wa Idd Amini, Jaffer Iddi Amin Daddah 'Tshombe' akipokewa na Madaraka Nyerere huko Mwitongo, Butiama. Pichani Amin akiingia nyumbani kwa Mwalimu, pamoja na Madaraka Nyerere na Mdogo wake Vincent Kiboko Nyerere, huko Mwitongo Butiama.

Chakula cha nguvu cha Kizanaki uliandaliwa kwa wageni waliofika.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©