Kikwete atembelea SAUDI
ARABIA
15/04/2009

Mfame Abdullah bin
Abdulaziz wa Saudi Arabia akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Jakaya
Mrisho Kikwete baada ya Dhifa ya kitaifa aliyomuandalia katika makazi
yake ya kifalme huko Saudi Arabia (katikati yao ni Mkalimani).

Mfalme wa Saudi Arabia
Abdullah bin Abdulaziz Al Saud akiwa katika picha ya pamoja na Rais
Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kumtunuku nishani ya dhahabu
ya kama ishara ya urafiki kati ya Tanzania na Saudi Arabia.
|