Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Uji wa tope Jangwani, Dar es Salaam

23/04/2009

Picha hizi zimepigwa na mpita njia na kuleta rai zake kama ifuatavyo.

"Njia hii inayokatisha viwanja vya jangwani inahitaji ubunifu kidogo tu kuelewa kwamba endapo itatengenezwa itasaidia sana foleni katikati ya jiji, ukizingatia dereva pichani akitaka kwenda maeneo ya Kigogo ama Ilala akitokea sehemu za faya iwapo barabara hii ingekuwa safi na nzuri, dereva hana haja ya kupita barabara ya shule ya Uhuru...

ama anayetoka Magomeni au Mwananyamala na anataka kwenda sehemu za Ilala ama Temeke hana haja ya kuzunguka barabara za Kawawa Road ama Morogoro Road...

tutumai kwamba Mh. William Lukuvi atafanya utaratibu juu ya swala hili".

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©