London Bridge yafanyiwa
machejo
25/04/2009

Bwana
Robbie Maddison kutoka Australia (pichani) alichukua fursa ya kulifanyia
machejo daraja la London Bridge au (Tower Bridge) kwa kuliruka kutoka
kiungo kimoja mpaka kingine kwa kutumia pikipiki.

Pichani
akionekana akiuacha upande aliotokea na kuanza kufanya machejo ya
kupindua pikipiki hewani ikijulikana kama (backflip).

Pichani
akionekana yupo katikati ya kiungo cha daraja la Tower Bridge, London,
akishabahia upande wa pili wa daraja.
Pichani
akionekana akiwa juu kwa juu kichwa chini miguu juu kwa machejo ya
kuipindua pikipiki hewani.

Pichani
akionekana yupo hewani akifanya umahiri wa kuachia mikono kwenye usukani.

Hapa
akionekana akiwa karibu na kushuka upande wa pili wa daraja la Tower
Bridge.

Hapa
akionekana kishaipindua pikipiki yake karibu na kutua kwenye upande wa
pili wa daraja.

Pichani
bwana Robbie akionekana ameshatua upande wa pili wa daraja. Robbie
ameshawahi kuruka viunzi na kuonyesha machejo mjini Las Vegas, USA, na
anatarajiwa kuonyesha machejo hayo tena Battersea Power Station, UK,
tarehe 22/08/2009.
|