Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Kikwete aomboleza kifo cha Aisha Adam Sapi

27/04/2009

JK akiwafariji ndugu na jamaa wa Marehemu bibi Aisha Adam Sapi Mkwawa wakati Rais alipokwenda kuwapa pole kufuatia kifo cha mke huyo wa spika wa Zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

JK akiweka saini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa marehemu bibi Aisha Adam Sapi Mkwawa wakati Rais Kikwete alipokwenda kutoa heshima zake za mwisho na kuwafariji ndugu wa Marehemu. Bibi Aisha alikuwa mke wa Marehemu Adam Sapi Mkwawa aliyekuwa spika wa Zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mwili wa Bibi Aisha ulisafirishwa baadaye kwenda Iringa kwa Mazishi.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©