Bei ya samaki Dar es
Salaam
04/05/2009

Baadhi ya wananchi waliofika kwenye mnada
wa samaki jijini Dar es Salaam jana. Wakiangalia bidhaa hiyo kabla ya
mnada kuanza ambapo ulishindwa kuendelea kutokana na kutofautiana kwa
bei za samaki hao; serikali ilitaka Sh. 7,000/- na wananchi walitaka iwe
Sh. 1,500/- kwa kilo moja.
|