Majeruhi wa Mbagala
wafarijiwa
06/05/2009

Mama
Salma Kikwete akimjulia hali mtoto Sarah Bakari mwenye umri wa miaka
miwili na nusu aliyelazwa katika wadi ya Sewahaji Muhimbili baada ya
kuumia kichwa na kuathirika miguu kutokana na ajali ya Mabomu
yaliyolipuka katika kambi ya jeshi Mbagala jijini Dar es Salaam.
|