Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Jacob Zuma rais wa Afrika Kusini

09/05/2009

Rais mpya wa Afrika ya Kusini, Bwana Jacob Zuma akila kiapo nchini humo katika sherehe zilizohudhuriwa na marais mbalimbali wa Afrika akiwemo rais wa Tanzania.

Mzee Mandela naye alikuwepo

Pichani ni wake wawili wa rais mpya wa Afrika ya Kusini, Bwana Jacob Zuma wakiwa katika picha ya pamoja kwenye sherehe za kuapishwa kwa mume wao.

Kutoka kushoto ni Nompumelelo Ntuli Zuma na kulia ni Thobeka Mabhija Zuma.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©